Search

Jisajiri - Weka appointiment


Jaza form hii kutengeneza account yako na kuweka appointiment yako.


Ugonjwa wa kuzidi kwa Acid ya Reflux, Visababishi, Dalili na Madhara


Ugonjwa wa reflux wa gastroesophageal au ugonjwa wa reflux wa gastro-oesophageal ni ugonjwa sugu wa njia ya juu ya utumbo ambapo maudhui ya tumbo mara kwa mara hutiririka hadi kwenye umio, na kusababisha dalili na matatizo.

๐—”๐—–๐—œ๐—— ๐—ฅ๐—˜๐—™๐—Ÿ๐—จ๐—ซ-๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—”๐—ฆ๐—œ๐——๐—œ ๐—ฅ๐—˜๐—™๐—Ÿ๐—˜๐—ซ:


Kuzidi kwa asidi reflux (Asid reflux ya tumbo kurudi juu kwenye umio mara kwa mara) kunaweza kuleta madhara makubwa mwilini endapo haitadhibitiwa au kutibiwa kwa haraka.

 

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ญ๐—” ๐—ž๐—จ๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—— ๐—ฅ๐—˜๐—™๐—Ÿ๐—จ๐—ซ:

 

  • Mabadiliko ya homoni kama vile testosterone kwa wanaume, estrogen kwa wanawake na wanaume pamoja na tezi za thyroid.


  • Mabadiliko ya homoni pamoja na kushuka kwa utendaji kazi wa tezi mbali mbali zinazo zalisha homoni au kemikali zinazo simamia ukuaji na mabadiliko ya kimwili pindi homoni izo zinapo zidi au kupungua kushuka kiasi, husababisha madhara makubwa sana mbali na maswala ya uzazi lakini pia husababisha mabadiliko ya asidi kwenye damu.

 

  • Magonjwa ya ini ya muda mlefu yasiyo tibiwa, kama vile Hepatitis na Fatty liver disease ugonjwa wa ini wa mafuta.

     

  • Kupanda au kushuka zaidi kwa viwango vya enzymes yani vimengโ€™enya  vya ini kama ๐—”๐—Ÿ๐—ง ๐—ป๐—ฎ ๐—”๐—ฆ๐—ง.

     

  • Vidonda sugu vya tumbo ambavyo maranyingi sana husababishwa na uwepo wa baktaria wa ๐—›.๐—ฃ๐—ฌ๐—Ÿ๐—ข๐—ฅ๐—œ pamoja na wingi wa asidi ya hydrochloride tumboni

     

  • Magonjwa ya figo ya muda mlefu yasiyo tibiwa au kudhibitiwa.

     

  • Ugonjwa wa kisukari na presha ya damu au shinikizo la damu

 



๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—”  ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—— ๐—ฅ๐—˜๐—™๐—Ÿ๐—จ๐—ซ:

 

  • Vichomi vya mara kwa mara tumboni au kifuani.

     

  • Miguu kuwaka moto na kuuma.

     

  • Kuhisi ganzi na tumbo kujaa gesi.

     

  • Maumivu ya kifua (yanayofanana na ya moyo, lakini hutokana na asidi).

     

  • Kuchomachoma kifuani (heartburn) kiungulia cha mara kwa mara.

     

  • Kuhisi chakula kinapanda juu (regurgitation).

     

  • Kukohoa hasa usiku, sauti kubadilika au kuwa nzito.

     

  • Kuvimba koo na hisia ya โ€œkuna kitu kimekwamaโ€.

 

๐—•๐—”๐—”๐——๐—›๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—”  ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—ž๐—จ๐—ญ๐—œ๐——๐—œ ๐—ž๐—ช๐—” ๐—”๐—ฆ๐—œ๐—— ๐—ฅ๐—˜๐—™๐—Ÿ๐—จ๐—ซ:


Hizi ni baadhi za ugonjwa wa kuzidi kwa asid reflux mwilini au kwenye damu.


๐—ž๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ฐ๐—ต๐—ฒ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ต๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐—ณ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ, ๐—บ๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—ฝ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฑ๐—ฎ๐—บ๐˜‚ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ป๐—ฒ๐˜ƒ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ณ๐—ถ๐—ด๐—ผ.

Kama mtu anakuwa tayari anatatizo la ini, figo au presha, basi kupitia hali ya kuzidi kwa viwango vya asidi kwenye damu, huchochea hali ya viungo ivyo kuendelea kuharibika zaidi.


๐—ž๐˜‚๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ผ (๐—ฒ๐˜€๐—ผ๐—ฝ๐—ต๐—ฎ๐—ด๐—ถ๐˜๐—ถ๐˜€)

Asidi huunguza ukuta wa umio na kuleta vidonda, maumivu na vidonda vya ndani.


๐—ž๐˜‚๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ผ (๐—ฒ๐˜€๐—ผ๐—ฝ๐—ต๐—ฎ๐—ด๐—ฒ๐—ฎ๐—น ๐˜€๐˜๐—ฟ๐—ถ๐—ฐ๐˜๐˜‚๐—ฟ๐—ฒ):

Maumivu ya muda mrefu huleta kovu na kufanya umio kuwa mwembamba, mgonjwa hushindwa kumeza vizuri.


๐—ฆ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ผ (๐—•๐—ฎ๐—ฟ๐—ฟ๐—ฒ๐˜๐˜โ€™๐˜€ ๐—ฒ๐˜€๐—ผ๐—ฝ๐—ต๐—ฎ๐—ด๐˜‚๐˜€ โ†’ ๐—˜๐˜€๐—ผ๐—ฝ๐—ต๐—ฎ๐—ด๐—ฒ๐—ฎ๐—น ๐—ฐ๐—ฎ๐—ป๐—ฐ๐—ฒ๐—ฟ):

Reflux sugu inaweza kubadilisha seli za ukuta wa umio na kuongeza hatari ya kupata saratani.


๐— ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚ ๐—ก๐—ฎ ๐—บ๐—ณ๐˜‚๐—บ๐—ผ ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐—ฝ๐˜‚๐—บ๐˜‚๐—ฎ๐—ท๐—ถ:

Asidi ikipanda juu inaweza kuingia kwenye njia ya hewa, na kusababisha asthma yani pumu, bronchitis sugu au nimonia.


๐—ž๐˜‚๐—ธ๐—ผ๐˜€๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ๐˜‡๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฐ๐—ต๐—ผ๐—ธ๐—ฎ ๐—ž๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ถ:

Dalili zikiwa nyingi hasa usiku, mgonjwa hukosa usingizi na kuchoka mara kwa mara.


๐—ก๐—ข๐—ง๐—˜: Kuzidi kwa asid reflux mara nyingi huhusiana na ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฑ๐—ผ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐—บ๐˜‚๐—ฑ๐—ฎ ๐—บ๐—น๐—ฒ๐—ณ๐˜‚ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ผ, ๐˜ƒ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐˜ƒ๐˜†๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜€๐˜‚๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐—ป๐˜†๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ถ, ๐—บ๐—ฎ๐—ณ๐˜‚๐˜๐—ฎ ๐—บ๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ถ, ๐—ฝ๐—ผ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ, ๐˜‚๐˜ƒ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐—ด๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ, ๐˜‚๐—ป๐—ฒ๐—ป๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ฝ๐—ถ๐˜๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐˜€๐—ถ, ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—น๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ ๐—บ๐—ผ๐—ท๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฎ๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—น๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ด๐—ผ๐—ป๐—ท๐˜„๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ณ๐—ถ๐—ด๐—ผ.

 

๐—ž๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—ž๐—”:-  Ni muhimu kufuatilia afya yako kwa kufanya vipimo vya mara kwa mara na kuyafikia matibabu ya mapema pale tatizo linapo bainika, kwani kila sekunde ni muhimu katika kuokoa maisha na kuepuka madhara ya kudumu.


๐—ž๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ๐—ฏ๐˜‚ ๐˜๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฐ๐—ต๐—ฎ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐—บ๐—ผ๐˜๐—ผ ๐˜‡๐—ฎ ๐—ฎ๐—ณ๐˜†๐—ฎ ๐˜๐˜‚๐—ป๐—ฎ๐˜๐—ผ๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ฑ๐˜‚๐—บ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข, ๐— ๐—”๐—ง๐—œ๐—•๐—”๐—•๐—จ, ๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—๐—ข ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ:

Taarifa zaidi

Karibu kwa huduma!