

Kwakawaida, homa ya ini ya virus yani hepatitis B virus diseases husambazwa kwa njia mbali mbali kama vile kujamiana, kushika maji mbaji yatokayo mwilini mwa mtu mwenye maambukizi pamoja na kuchangia vifaa vyenye ncha kali kama sindano, kisu au wembe pamoja na kuchangia damu.
Ugonjwa wa figo kuwa na mawe umeenea sana.Husababisha maumivu makali sana.Wakati mwingine mawe ya figo hayaonyeshi dalili zozote.Ugonjwa huu husababisha maambukizi na kupata hudhuru wa figo kwa wagonjwa wengine,iwapo hautotibiwa haraka.Mawe yatokeapo huwa ni rahisi kurudia tena kwa hiyo ni muhimu kuelewa , jinsi ya kuzuia na kukabiliana na ugonjwa huu.
Ugonjwa wa reflux wa gastroesophageal au ugonjwa wa reflux wa gastro-oesophageal ni ugonjwa sugu wa njia ya juu ya utumbo ambapo maudhui ya tumbo mara kwa mara hutiririka hadi kwenye umio, na kusababisha dalili na matatizo.