Punguza au acha kabisa kunywa pombe, vyakula vyenye sukari nyingi, Chumvi na mafuta.
Ugonjwa wa figo kuwa na mawe umeenea sana.Husababisha maumivu makali sana.Wakati mwingine mawe ya figo hayaonyeshi dalili zozote.Ugonjwa huu husababisha maambukizi na kupata hudhuru wa figo kwa wagonjwa wengine,iwapo hautotibiwa haraka.Mawe yatokeapo huwa ni rahisi kurudia tena kwa hiyo ni muhimu kuelewa , jinsi ya kuzuia na kukabiliana na ugonjwa huu.
Vidonda vya tumbo (kwa Kiingereza Peptic Ulcer)